Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa

Watumishi

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania ina jumla ya Watumishi 288 nchi nzima.

Watumishi hao wamegawanyika katika makundi yafuatayo;

1. Wakutubi

2. Wahasibu

3. Maafisa Hesabu

4. Maafisa Rasilimali watu na Utawala

5. Wakaguzi wa Ndani

6. Watunza Kumbukumbu

7. Maafisa Tehama

8. Maafisa Habri na Mahusiano

9. Wanasheria

10. Maafisa Mipango

11. Maafisa Ugavi na Ununuzi

12. Wakufunzi

13. Maafisa Miliki

14. Katibu Muhtasi

15. Wasaidizi wa Maktaba

16. Wasaidizi wa Ofisi

17. Madereva

18. Wapokezi