Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Washiri wa Mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi wakila kiapo kabla ya kuanza mafunzo

21 Jun, 2023
09:00:00 - 16:00:00
Iringa
NEC

Baadhi ya washiriki wa mafunzo kwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo na kata, wakila kiapo kabla ya kuanza mafunzo yaliyofanyika mkoani Iringa ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Madiwani katika kata 14 za Tanzania Bara utakaofanyika Julai 13, 2023.

 

Washiri wa Mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi wakila kiapo kabla ya kuanza mafunzo