Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mbarali Bw. Missana Kwangura akimteua Mgombea wa Chama cha ACT-Wazalendo Modestus Dickson Kilufi kugombea Ubunge Uchaguzi Mdogo tarehe 19 Septemba, 2023.

19 Aug, 2023
08:00:00 - 16:00:00
Mbarali, Mbeya
NEC

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mbarali Bw. Missana Kwangura akimkabidhi nakala ya fomu za uteuzi mgombea wa Chama cha ACT-Wazalendo Modestus Dickson Kilufi baada ya kumteua kuwa mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Mbarali unaotarajiwa kufanyika tarehe 19 Septemba, 2023.

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mbarali Bw. Missana Kwangura akimteua Mgombea wa Chama cha ACT-Wazalendo Modestus Dickson Kilufi kugombea Ubunge Uchaguzi Mdogo tarehe 19 Septemba, 2023.