Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Makamu Mwenyekiti Jaji Mst. Rufaa Mbarouk afungua mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi

21 Jun, 2023
08:00:00 - 12:00:00
Tanga
NEC

Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Mbarouk Salim Mbarouk akifunga mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wa uchagizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata yaliyofanyika jijini Tanga.

Makamu Mwenyekiti Jaji Mst. Rufaa Mbarouk afungua mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi