Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Maafisa wa Tume Vicent Kazimoto (kushoto) na Nuru Riwa (katikati) wakitoa Elimu ya Mpiga Kura kupitia Redio Uyui FM kuhusu Uchaguzi Mdogo wa Madiwani Kata 13

30 Jun, 2023
08:00:00 - 16:00:00
Uyui, Tabora
NEC

Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Vicent Kazimoto (kushoto) na Nuru Riwa (katikati) wakitoa Elimu ya Mpiga Kura kupitia Redio Uyui FM ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kuhusu Uchaguzi Mdogo wa Madiwani katika Kata 13 za unaofanyika terehe 13 Julai, 2023.

Maafisa wa Tume Vicent Kazimoto (kushoto) na Nuru Riwa (katikati) wakitoa Elimu ya Mpiga Kura kupitia Redio Uyui FM kuhusu Uchaguzi Mdogo wa Madiwani Kata 13