Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Jaji Mst. Mihayo afungua mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mkoani Iringa

21 Jun, 2023
09:00:00 - 15:00:00
Iringa
NEC

Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (Mst) Thomas Mihayo akifungua  mafunzo kwa wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata yaliyofanyika mkoani Iringa ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Madiwani katika kata 14 za Tanzania Bara utakaofanyika Julai 13, 2023.

Jaji Mst. Mihayo afungua mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mkoani Iringa