Generic placeholder
Bw. Leodgar Tenga

Mwenyekiti wa Bodi

Wasifu

Sisi ni nani

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ni taasisi ya kiserikali iliyoundwa na bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa sheria Na. 12 ya mwaka 1967 na marekebisho yake ya sheria Na.6 ya mwaka 1971 na Kanuni za Baraza la Michezo la Taifa na Kanuni za usajili Na.442 za mwaka 1999 na ndio chombo pekee kilichopewa mamlaka na Bunge kusimamia Michezo nchini.  Aidha Baraza la Michezo la Taifa ni Taasisi iliyopo chini ya Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo.  KAZI ZA BARAZA Kwa mujibu wa Sheria ya Bunge Na. 12 ya mwaka 1967 na marekebisho yake katika Sheria namba.6 ya mwaka 1971 kazi za Baraza ni Kuendeleza, kustawisha na kudhibiti aina zote za Michezo ya Ridhaakwa ushirikiano na Vyama vya Michezo nchini. Kuhimiza na kutoa fursa za ushirikiano miongoni mwa Vyama mbalimbali vya michezo vya Taifa. Kuidhinisha Mashindano ya Kitaifa na Kimataifa katika michezo na tamasha vilivyoandaliwa na Vyama vya Taifa na Vyama vingine Kuandaa, baada ya kushauriana na Vyama vya Ta...

Vyombo vya Habari

03 Oct, 2022
PONGEZI KWA IZMIR
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) linatoa pongezi kwa mchezaji Shedrack...
03 Oct, 2022 PONGEZI KWA IZMIR
20 Apr, 2022
Mhe. Mchengerwa: Napenda nione...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa am...
20 Apr, 2022 Mhe. Mchengerwa: Napenda nione Mapinduzi...
20 Apr, 2022
MHE.MCHENGERWA: TUHAKIKISHE VI...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa (M...
20 Apr, 2022 MHE.MCHENGERWA: TUHAKIKISHE VILABU VYOTE...
21 Apr, 2022
UZINDUZI WA BODI YA BMT -...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Mohamed Mchenger...
21 Apr, 2022 UZINDUZI WA BODI YA BMT - BARAZA LA 15

Nifanyaje

Utaratibu wa Kusajili Vyama/Mshirikisho, Taasisi za Michezo ni kama ifuatavyo: 3.(I) Chama chochote kinachotaka kusajiliwa kitapeleka maombi yake kwa Msajili Msaidizi aliyeko katika Wilaya ambayo ni makao makuu ya chama hicho. Maombi haya yaambatanishwe na: Muhtasari wa kikao cha...
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis aute irure dolor in reprehenderit in voluptate velit esse cillu...
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis aute irure dolor in reprehenderit in voluptate velit esse cillu...