Idara

 

i. Idara ya Maendeleo ya Michezo

  • Kuratibu shughuli zote za michezo nchini kwa kushirikiana na mashirikisho/vyama vya michezo vya kitaifa na asasi mali mbali za michezo
  • Kusimamia maendeleo ya michezo nchini
  • Kuhimiza ushirikiano na mahusiano bora baina ya mashirikisho/vyama vya michezo nchini

ii. Idara ya Utawala na Rasilimali watu. 

  • Kuandaa mipango ya Utumishi na Maendeleo ya Wafanyakazi wa Baraza na
  •  Kushughulikia masuala ya Uhusiano kati ya BMT na taasisi nyingine na Wafanyakazi.

iii. Idara ya Fedha na Mipango. 

 

  • Kumshauri Katibu Mtendaji kuhusu masuala ya fedha, ununuzi na mipango
  • Kusimamia uandaaji wa taarifa za robo, nusu na za mwaka na kuziwasilisha sehemu husika