Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Tanzania Investment Centre

TIC logo

Photo Gallery

Kamati ya NIFC Yakutana TIC

Wakuu wa taasisi zinazotoa huduma mahala pamoja kwa wawekezaji kupitia Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) wamekutana kwa lengo la kuboresha huduma kwa wawekezaji leo tarehe 24 Novemba, 2021 katika ukumbi wa mikutano wa TIC. Kikao hiki cha Kamati ya Kitaifa ya Ufanikishaji Uwekezaji (NIFC) kinaongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Dkt. Maduhu Kazi. Taasisi ambazo zimeshiriki kikao hicho ni NEMC, Uhamiaji, OWM Idara ya kazi, TRA, OSHA, NIDA, NACTE, TBS, TNBC, TMDA na BRELA.


Feedbacks

Feedback, Complaint or Opinion:

TISEZA AI Assistant ×