Mkutano wa wadau wa Magari Maalum ya Kukodi
09 May, 2022 09:30 AM - 12:30PM JNICC
Mkutano wa wadau wa Magari Maalum ya Kukodi

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) inawakaribisha wadau wote wa Mabasi Maalum ya Kukodi kwenye kikao cha pamoja kitakachofanyika katika ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Mwalimu Nyerere (JNICC). Katika kikao hicho, washiriki watafahamishwa kuhusu majukumu ya Mamlaka ikiwa ni pamoja na suala la utoaji wa leseni za mabasi hayo. Vilevile, washiriki watapata nafasi ya kutoa maoni yatakayochukuliwa na kufanyiwa kazi na Mamlaka. 

Mrejesho

Mrejesho, Malalamiko au Wazo